Zaburi 97:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana wewe, Ee Yehova, ndiye Uliye Juu Zaidi, juu ya dunia yote;+Wewe uko juu sana katika kupanda kwako, juu ya miungu mingine yote.+ Danieli 4:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 “Basi mimi, Nebukadneza, namsifu na kumkweza na kumtukuza Mfalme wa mbinguni,+ kwa sababu kazi zake zote ni kweli na njia zake ni haki,+ na kwa sababu wale wanaotembea kwa kiburi yeye anaweza kuwafedhehesha.”+
9 Kwa maana wewe, Ee Yehova, ndiye Uliye Juu Zaidi, juu ya dunia yote;+Wewe uko juu sana katika kupanda kwako, juu ya miungu mingine yote.+
37 “Basi mimi, Nebukadneza, namsifu na kumkweza na kumtukuza Mfalme wa mbinguni,+ kwa sababu kazi zake zote ni kweli na njia zake ni haki,+ na kwa sababu wale wanaotembea kwa kiburi yeye anaweza kuwafedhehesha.”+