Zaburi 46:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mataifa yakawa na msukosuko,+ falme zikatikisika;Akavumisha sauti yake, dunia ikayeyuka.+ Zaburi 98:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova amefanya wokovu wake ujulikane;+Ameufunua uadilifu wake machoni pa mataifa.+