21 Sasa tazama! umeweka tegemeo lako katika usaidizi wa tete hili lililopondeka,+ Misri,+ ambalo, mtu akiliegemea, hakika litaingia mkononi mwake na kuuchoma. Hivyo ndivyo Farao+ mfalme wa Misri alivyo kwa wote wanaomtegemea.
7 “Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi, ‘Mwambieni hivi mfalme wa Yuda, yeye aliyewatuma kwangu kuniuliza habari:+ “Tazama! Jeshi la Farao ambalo linawajia ninyi kwa kusudi la kuwapa msaada litarudi nchini kwao, Misri.+