30 Nawe usikilize ombi la kutaka kibali+ la mtumishi wako na la watu wako Israeli ambalo wanasali kuelekea mahali hapa; nawe usikilize katika makao yako, mbinguni,+ nawe usikie na kusamehe.+
20 ili macho yako yafunguliwe+ kuielekea nyumba hii mchana na usiku, kuelekea mahali ambapo ulisema utaweka jina lako,+ kwa kuisikiliza sala ambayo mtumishi wako anatoa kuelekea mahali hapa.+
9 ‘Tukipatwa na msiba,+ upanga, hukumu mbaya, au tauni+ au njaa,+ acheni tusimame mbele ya nyumba hii+ na mbele zako (kwa maana jina lako+ limo katika nyumba hii), ili tukuombe msaada ili kutuondoa katika taabu yetu, nawe usikie na kuokoa.’+