7 “Nisikilizeni mimi, ninyi mnaoujua uadilifu, watu ambao sheria yangu imo moyoni mwao.+ Msiogope shutuma ya wanadamu wanaoweza kufa, wala msiingiwe na hofu kwa sababu tu ya maneno yao mabaya.+
28 nanyi msiwaogope hata kidogo wapinzani+ wenu. Jambo hili ni uthibitisho wa uharibifu kwao, lakini wa wokovu kwenu;+ na ishara hii inatokana na Mungu,