Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 51:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Nisikilizeni mimi, ninyi mnaoujua uadilifu, watu ambao sheria yangu imo moyoni mwao.+ Msiogope shutuma ya wanadamu wanaoweza kufa, wala msiingiwe na hofu kwa sababu tu ya maneno yao mabaya.+

  • Yohana 12:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Usiogope, binti Sayuni. Tazama! Mfalme wako anakuja,+ akiwa ameketi juu ya mwana wa punda.”+

  • Wafilipi 1:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 nanyi msiwaogope hata kidogo wapinzani+ wenu. Jambo hili ni uthibitisho wa uharibifu kwao, lakini wa wokovu kwenu;+ na ishara hii inatokana na Mungu,

  • 1 Petro 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini hata mkiteseka kwa ajili ya uadilifu, ninyi ni wenye furaha.+ Hata hivyo, msikiogope kile kitu wanachokiogopa,+ wala msifadhaike.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki