Mika 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Je, Yehova atapendezwa na maelfu ya kondoo-dume, na makumi ya maelfu ya mito ya mafuta?+ Je, nimtoe mwanangu mzaliwa wa kwanza kwa ajili ya maasi yangu, uzao wa tumbo langu kwa ajili ya dhambi ya nafsi yangu?+
7 Je, Yehova atapendezwa na maelfu ya kondoo-dume, na makumi ya maelfu ya mito ya mafuta?+ Je, nimtoe mwanangu mzaliwa wa kwanza kwa ajili ya maasi yangu, uzao wa tumbo langu kwa ajili ya dhambi ya nafsi yangu?+