Zaburi 115:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wale wanaozifanya watakuwa kama hizo,+Wale wote wanaozitegemea.+ Isaya 44:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ni nani ambaye amefanya mungu au kutengeneza sanamu ya kuyeyushwa?+ Imekuwa isiyo na faida yoyote.+ Yeremia 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kila mtu amejiendesha kwa kukosa sana kutumia akili asiweze kujua.+ Hakika kila fundi wa chuma ataona aibu kwa sababu ya sanamu ya kuchongwa;+ kwa maana sanamu yake ya kuyeyushwa ni uwongo,+ na hamna roho ndani yake.+ Yeremia 51:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hizo ni ubatili,+ kazi ya mzaha.+ Wakati wa kuzikazia fikira, zitaangamia.+ 1 Wakorintho 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sasa kuhusu kula+ vyakula vinavyotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ katika ulimwengu, na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+
10 Ni nani ambaye amefanya mungu au kutengeneza sanamu ya kuyeyushwa?+ Imekuwa isiyo na faida yoyote.+
14 Kila mtu amejiendesha kwa kukosa sana kutumia akili asiweze kujua.+ Hakika kila fundi wa chuma ataona aibu kwa sababu ya sanamu ya kuchongwa;+ kwa maana sanamu yake ya kuyeyushwa ni uwongo,+ na hamna roho ndani yake.+
4 Sasa kuhusu kula+ vyakula vinavyotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ katika ulimwengu, na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+