4 Kwa maana umekuwa ngome kwa mtu wa hali ya chini, ngome kwa maskini katika taabu aliyo nayo,+ kimbilio kutokana na dhoruba ya mvua, kivuli+ kutokana na joto, wakati mlipuko wa wenye kuonea ni kama dhoruba ya mvua juu ya ukuta.
2 Na kila mmoja atakuwa kama mahali pa kujificha kutokana na upepo na mahali pa kujificha kutokana na dhoruba ya mvua,+ kama vijito vya maji katika nchi isiyo na maji,+ kama kivuli cha mwamba mzito katika nchi iliyochoka.+