17 Naye akamwambia Adamu: “Kwa sababu uliisikiliza sauti ya mke wako ukala matunda ya mti ambao nilikupa amri+ hii kuuhusu, ‘Usile matunda yake,’ udongo umelaaniwa kwa sababu yako.+ Kwa maumivu utakula mazao yake siku zote za maisha yako.+
12 Hiyo ndiyo sababu, kama vile kupitia mtu mmoja+ dhambi iliingia katika ulimwengu na kifo+ kupitia dhambi, na hivyo kifo kikaenea kwa watu wote kwa sababu wote walikuwa wamefanya dhambi+—.