46 ndipo akawaambia: “Tieni mioyo yenu katika maneno yote ninayosema kwa kuwaonya ninyi leo,+ ili muwaamuru wana wenu wawe waangalifu kufanya maneno yote ya sheria hii.+
4 Naye mtu huyo akaanza kuniambia: “Mwana wa binadamu,+ ona kwa macho yako, na kwa masikio yako usikie, na uweke moyo wako juu ya yote ninayokuonyesha, kwa sababu umeletwa hapa nipate kukuonyesha. Itangazie nyumba ya Israeli kila kitu unachokiona.”+