Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 7:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Nawe usilete chukizo katika nyumba yako nawe uwe kitu kilichotengwa kwa ajili ya kuangamizwa kama kitu hicho. Kinai kitu hicho na kukichukia kabisa,+ kwa sababu ni kitu kilichotengwa kwa ajili ya kuangamizwa.+

  • Kumbukumbu la Torati 27:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “‘Amelaaniwa mtu ambaye anafanya sanamu ya kuchongwa+ au sanamu ya kuyeyushwa,+ kitu kinachochukiza kwa Yehova,+ kilichotengenezwa kwa mikono ya mfanyakazi wa mbao na chuma,+ na ambaye amekiweka mafichoni.’ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)+

  • 1 Wafalme 11:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na Sulemani akaanza kufuata Ashtorethi,+ mungu wa kike wa Wasidoni na kufuata Milkomu,+ chukizo la Waamoni.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki