17 hakika nitakubariki nami nitauzidisha uzao wako kama nyota za mbinguni na kama chembe za mchanga zilizo kando ya bahari;+ na uzao wako utamiliki lango la adui zake.+
22 Kama jeshi la mbinguni lisivyoweza kuhesabiwa, wala mchanga wa bahari kupimwa,+ ndivyo nitakavyouzidisha uzao wa Daudi mtumishi wangu na Walawi wanaonihudumia.’”+
10 “Na hesabu ya wana wa Israeli itakuwa kama chembe za mchanga wa bahari ambao hauwezi kupimwa wala kuhesabiwa.+ Na itakuwa kwamba mahali ambapo walikuwa wakiambiwa, ‘Ninyi si watu wangu,’+ wataambiwa, ‘Wana wa Mungu aliye hai.’+