Zaburi 62:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Msitegemee upunjaji,+Wala kuwa ubatili kwa sababu ya unyang’anyi mtupu.+Mali ikiongezeka, msiiweke moyoni.+ Isaya 30:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa hiyo Mtakatifu wa Israeli amesema hivi: “Kwa sababu ya ninyi kulikataa neno hili,+ na kwa kuwa mnategemea upunjaji na yaliyo ya hila na ninyi mnajitegemeza juu yake,+
10 Msitegemee upunjaji,+Wala kuwa ubatili kwa sababu ya unyang’anyi mtupu.+Mali ikiongezeka, msiiweke moyoni.+
12 Kwa hiyo Mtakatifu wa Israeli amesema hivi: “Kwa sababu ya ninyi kulikataa neno hili,+ na kwa kuwa mnategemea upunjaji na yaliyo ya hila na ninyi mnajitegemeza juu yake,+