11 Kwa maana kama vile dunia inavyotoa chipukizi lake, na kama vile bustani inavyochipusha vitu vilivyopandwa ndani yake,+ ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova atakavyotoa chipukizi la uadilifu+ na la sifa mbele ya mataifa yote.+
9 Na hakika yeye atakuwa kwangu jina la furaha,+ sifa na uzuri kuelekea mataifa yote ya dunia ambayo yatasikia ule wema wote ambao ninawapa.+ Na hakika wao watakuwa na hofu+ na kufadhaika+ kwa sababu ya ule wema wote na kwa sababu ya ile amani yote ambayo ninampa.’”+
19 Tazama, ninachukua hatua juu ya wote wanaokutesa, wakati huo;+ nami nitamwokoa yeye anayechechemea,+ na yeye ambaye ametawanywa nitamkusanya pamoja.+ Nami nitawaweka kuwa sifa na kuwa jina katika nchi yote ya aibu yao.