2 Wafalme 9:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Basi akasema: “Mwangusheni!”+ Ndipo wakamwangusha huyo mwanamke, na sehemu ya damu yake ikamwagika juu ya ukuta na juu ya farasi; naye akamkanyaga-kanyaga.+
33 Basi akasema: “Mwangusheni!”+ Ndipo wakamwangusha huyo mwanamke, na sehemu ya damu yake ikamwagika juu ya ukuta na juu ya farasi; naye akamkanyaga-kanyaga.+