Zaburi 26:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova, nimependa makao ya nyumba yako+Na mahali ambapo utukufu wako hukaa.+ Zaburi 84:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nafsi yangu imetamani sana na pia imedhoofika kwa kutamani nyua za Yehova.+Moyo wangu mwenyewe na mwili wangu wenyewe humpigia Mungu aliye hai vigelegele kwa shangwe.+ Zaburi 122:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ombeni kwa ajili ya amani ya Yerusalemu.+Wanaokupenda, Ee jiji, hawatakuwa na wasiwasi.+ Zaburi 137:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ulimi wangu na ushikamane na kaakaa langu,+Kama nisingekukumbuka,+Kama nisingeinua YerusalemuKuwa juu ya sababu yangu kuu ya kushangilia.+
2 Nafsi yangu imetamani sana na pia imedhoofika kwa kutamani nyua za Yehova.+Moyo wangu mwenyewe na mwili wangu wenyewe humpigia Mungu aliye hai vigelegele kwa shangwe.+
6 Ulimi wangu na ushikamane na kaakaa langu,+Kama nisingekukumbuka,+Kama nisingeinua YerusalemuKuwa juu ya sababu yangu kuu ya kushangilia.+