Mathayo 11:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 na mwenye furaha ni yule asiyepata ndani yangu sababu ya kukwazika.”+ Mathayo 21:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Pia, mtu atakayeangukia jiwe hilo atavunjika-vunjika. Na yeyote ambaye litamwangukia, litamponda-ponda.”+ 1 Wakorintho 1:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 lakini sisi tunamhubiri Kristo aliyetundikwa mtini,+ kwa Wayahudi ni sababu ya kujikwaa+ lakini kwa mataifa ni upumbavu;+
44 Pia, mtu atakayeangukia jiwe hilo atavunjika-vunjika. Na yeyote ambaye litamwangukia, litamponda-ponda.”+
23 lakini sisi tunamhubiri Kristo aliyetundikwa mtini,+ kwa Wayahudi ni sababu ya kujikwaa+ lakini kwa mataifa ni upumbavu;+