Maombolezo 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Adui zako wote wamefungua vinywa vyao juu yako.+Wamepiga mluzi wa mshangao na kuendelea kusaga meno.+ Wamesema: “Tutammeza.+Kweli hii ndiyo siku ambayo tumeitumaini.+ Tumepata! Tumeona!”+ Mika 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Na sasa mataifa mengi yatakusanywa juu yako, wale wanaosema, ‘Acheni atiwe uchafu, nayo macho yetu yautazame Sayuni.’+
16 Adui zako wote wamefungua vinywa vyao juu yako.+Wamepiga mluzi wa mshangao na kuendelea kusaga meno.+ Wamesema: “Tutammeza.+Kweli hii ndiyo siku ambayo tumeitumaini.+ Tumepata! Tumeona!”+
11 “Na sasa mataifa mengi yatakusanywa juu yako, wale wanaosema, ‘Acheni atiwe uchafu, nayo macho yetu yautazame Sayuni.’+