Yeremia 50:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kwa hiyo vijana wake wataanguka katika viwanja vyake vya watu wote,+ na hata wanaume wake wote wa vita watanyamazishwa katika siku hiyo,”+ asema Yehova. Yeremia 51:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Yeye anayekanyaga upinde wake na asikanyage.+ Na yeyote asisimame akiwa amevaa vazi lake la chuma. “Nanyi msiwahurumie vijana wake.+ Liangamizeni jeshi lake lote.+
30 Kwa hiyo vijana wake wataanguka katika viwanja vyake vya watu wote,+ na hata wanaume wake wote wa vita watanyamazishwa katika siku hiyo,”+ asema Yehova.
3 “Yeye anayekanyaga upinde wake na asikanyage.+ Na yeyote asisimame akiwa amevaa vazi lake la chuma. “Nanyi msiwahurumie vijana wake.+ Liangamizeni jeshi lake lote.+