Isaya 14:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Lakini wewe, umetupiliwa mbali bila kaburi kwa ajili yako,+ kama chipukizi lenye kuchukiwa, umevikwa watu waliouawa, waliochomwa kwa upanga ambao wanashuka mpaka katika mawe ya shimoni,+ kama mzoga uliokanyagiwa chini.+ Yeremia 50:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Waueni ng’ombe-dume zake wote wachanga.+ Na washuke kwenda machinjoni.+ Ole wao, kwa maana siku yao imefika, wakati wa kuwakazia fikira!+ Yeremia 51:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Yeye anayekanyaga upinde wake na asikanyage.+ Na yeyote asisimame akiwa amevaa vazi lake la chuma. “Nanyi msiwahurumie vijana wake.+ Liangamizeni jeshi lake lote.+
19 Lakini wewe, umetupiliwa mbali bila kaburi kwa ajili yako,+ kama chipukizi lenye kuchukiwa, umevikwa watu waliouawa, waliochomwa kwa upanga ambao wanashuka mpaka katika mawe ya shimoni,+ kama mzoga uliokanyagiwa chini.+
27 Waueni ng’ombe-dume zake wote wachanga.+ Na washuke kwenda machinjoni.+ Ole wao, kwa maana siku yao imefika, wakati wa kuwakazia fikira!+
3 “Yeye anayekanyaga upinde wake na asikanyage.+ Na yeyote asisimame akiwa amevaa vazi lake la chuma. “Nanyi msiwahurumie vijana wake.+ Liangamizeni jeshi lake lote.+