17 “Paaza sauti tena, na kusema, ‘Yehova wa majeshi amesema hivi: “Bado majiji yangu yatafurikwa na wema tena;+ na Yehova bado atajuta juu ya Sayuni+ na bado atalichagua Yerusalemu.” ’ ”+
7 Tuseme nini, basi? Jambo lilelile ambalo Israeli anatafuta kwa bidii yeye hakulipata,+ lakini wale waliochaguliwa+ walilipata. Wale wengine hisia zao zilifanywa kuwa nzito;+