14 Wao wamekufa; hawataishi.+ Wakiwa ni wasiojiweza katika kifo,+ hawataamka.+ Kwa hiyo umeelekeza fikira zako ili uwaangamize na kuharibu majina yao yote.+
21 “ ‘Watu wa kwanza kabisa kati ya wenye nguvu watasema naye katikati ya Kaburi,* pamoja na wasaidizi wake.+ Hakika watashuka chini;+ watalala kama wale ambao hawajatahiriwa, waliouawa kwa upanga.