Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana nyumba yake huzama ndani ya kifo na mapito yake huzama ndani kwa wale wasiojiweza katika kifo.+

  • Mhubiri 3:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Wote wanaenda mahali pamoja.+ Wote wametoka katika mavumbi,+ nao wote wanarudi mavumbini.+

  • Isaya 26:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Wao wamekufa; hawataishi.+ Wakiwa ni wasiojiweza katika kifo,+ hawataamka.+ Kwa hiyo umeelekeza fikira zako ili uwaangamize na kuharibu majina yao yote.+

  • Ezekieli 32:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “ ‘Watu wa kwanza kabisa kati ya wenye nguvu watasema naye katikati ya Kaburi,* pamoja na wasaidizi wake.+ Hakika watashuka chini;+ watalala kama wale ambao hawajatahiriwa, waliouawa kwa upanga.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki