Yeremia 50:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Jinsi nyundo ya chuma+ ya dunia yote imekatwa na kuvunjwa!+ Jinsi Babiloni amekuwa kitu cha kushangaza tu kati ya mataifa!+ Yeremia 51:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Tazama, mimi niko dhidi yako,+ Ee mlima wenye kuharibu,”+ asema Yehova, “wewe mwenye kuiharibu dunia yote;+ nami nitaunyoosha mkono wangu juu yako na kukuviringisha kutoka katika miamba na kukufanya kuwa mlima ulioteketezwa.”+
23 Jinsi nyundo ya chuma+ ya dunia yote imekatwa na kuvunjwa!+ Jinsi Babiloni amekuwa kitu cha kushangaza tu kati ya mataifa!+
25 “Tazama, mimi niko dhidi yako,+ Ee mlima wenye kuharibu,”+ asema Yehova, “wewe mwenye kuiharibu dunia yote;+ nami nitaunyoosha mkono wangu juu yako na kukuviringisha kutoka katika miamba na kukufanya kuwa mlima ulioteketezwa.”+