17 Jifunzeni kutenda mema;+ tafuteni haki;+ mrekebisheni mkandamizaji;+ fanyeni hukumu kwa ajili ya mvulana asiye na baba;+ teteeni masilahi ya mjane.”+
12 Enyi nyumba ya Daudi,+ Yehova amesema hivi: “Kila asubuhi+ toeni hukumu kwa haki,+ na kumkomboa kutoka mkononi mwa mpunjaji yeye anayenyang’anywa,+ ili ghadhabu yangu isitoke kama moto+ na kuteketeza na kusiwe na yeyote wa kuuzima kwa sababu ya ubaya wa matendo yenu.”’+
27 Kwa hiyo, Ee mfalme, shauri langu na likubalike kwako,+ nawe uziondoe dhambi zako kwa uadilifu,+ na uovu wako kwa kuwaonyesha maskini rehema.+ Labda mafanikio yako yatarefushwa.’ ”+