3 Na Yehova akaendelea kusema: “Kama vile Isaya mtumishi wangu alivyotembea akiwa uchi na miguu wazi kwa miaka mitatu ili kuwa ishara+ na dalili juu ya Misri+ na juu ya Ethiopia,+
4 Na hakika upanga utaingia Misri,+ na maumivu makali yatatukia Ethiopia wakati ambapo mtu ataanguka akiwa ameuawa katika Misri nao kwa kweli wachukue mali yake nayo misingi yake kwa kweli ibomolewe.+