Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 68:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Vyombo vya shaba nyeusi vitatoka Misri;+

      Kushi itanyoosha upesi mikono yake ikiwa na zawadi kwa Mungu.+

  • Zaburi 72:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wafalme wa Tarshishi na wa visiwa+—

      Watalipa ushuru.+

      Wafalme wa Sheba na wa Seba—

      Watatoa zawadi.+

  • Isaya 18:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Katika wakati huo zawadi italetwa kwa Yehova wa majeshi,+ kutoka kwa watu warefu na walio laini,+ kutoka kwa watu wenye kuogopesha kila mahali, taifa lenye nguvu zinazodumu na lenye kukanyaga-kanyaga, ambalo mito imeifagilia mbali nchi yake, kwenye mahali pa jina la Yehova wa majeshi, Mlima Sayuni.”+

  • Isaya 60:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Inua macho yako pande zote, uone! Wote hao wamekusanywa pamoja;+ wamekuja kwako wewe.+ Wana wako wanaendelea kuja kutoka mbali, na binti zako ambao watatunzwa wakiwa ubavuni.+

  • Matendo 8:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Ndipo akaondoka akaenda, na, tazama! towashi+ Mwethiopia,+ mwanamume aliye na mamlaka chini ya Kandake malkia wa Waethiopia, na ambaye alikuwa juu ya hazina yote ya malkia. Huyo alikuwa ameenda Yerusalemu kuabudu,+

  • Waroma 15:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 ili niwe mtumishi wa watu wote wa Kristo Yesu kwa mataifa,+ nikifanya kazi takatifu ya habari njema+ ya Mungu, ili toleo,+ yaani, mataifa haya, likubalike,+ likiwa limetakaswa kwa roho takatifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki