Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 8:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Tazama! Mimi na watoto ambao Yehova amenipa+ ni kama ishara+ na kama miujiza katika Israeli kutoka kwa Yehova wa majeshi, anayekaa katika Mlima Sayuni.+

  • Isaya 24:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na mwezi mpevu umefedheheka, na jua linaloangaza limeona aibu,+ kwa maana Yehova wa majeshi amekuwa mfalme+ katika Mlima Sayuni+ na katika Yerusalemu na mbele ya wanaume wake wazee kwa utukufu.+

  • Yoeli 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nanyi mtajua ya kwamba mimi ni Yehova Mungu wenu,+ anayekaa katika Sayuni, mlima wangu mtakatifu.+ Na Yerusalemu litakuwa mahali patakatifu;+ wageni nao hawatapita tena kamwe kati yake.+

  • Mika 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Simama upure, Ee binti Sayuni;+ maana nitaibadili pembe yako iwe chuma, na kwato zako nitazibadili ziwe shaba, nawe utaponda kabisa vikundi vingi vya watu;+ na kwa kupiga marufuku utamtolea Yehova faida yao isiyo ya haki,+ na mali zao kwa Bwana wa kweli wa dunia yote.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki