13 “Simama upure, Ee binti Sayuni;+ maana nitaibadili pembe yako iwe chuma, na kwato zako nitazibadili ziwe shaba, nawe utaponda kabisa vikundi vingi vya watu;+ na kwa kupiga marufuku utamtolea Yehova faida yao isiyo ya haki,+ na mali zao kwa Bwana wa kweli wa dunia yote.”+