Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 6:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Lakini fedha yote na dhahabu na vyombo vya shaba na chuma ni vitu vitakatifu kwa Yehova.+ Viwekwe katika hazina ya Yehova.”+

  • 2 Samweli 8:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Vyombo hivyo pia Mfalme Daudi akavitakasa kwa Yehova, pamoja na ile fedha na dhahabu ambayo alikuwa ameitakasa kutoka kwa mataifa yote ambayo alikuwa ameyatiisha,+

  • Isaya 18:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Katika wakati huo zawadi italetwa kwa Yehova wa majeshi,+ kutoka kwa watu warefu na walio laini,+ kutoka kwa watu wenye kuogopesha kila mahali, taifa lenye nguvu zinazodumu na lenye kukanyaga-kanyaga, ambalo mito imeifagilia mbali nchi yake, kwenye mahali pa jina la Yehova wa majeshi, Mlima Sayuni.”+

  • Isaya 23:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na faida yake na malipo+ yake lazima viwe kitu kitakatifu kwa Yehova. Havitawekwa akiba, wala kurundikwa, kwa sababu malipo yake yatakuja kuwa ya wale wanaokaa mbele za Yehova,+ kwa ajili ya kula na kushiba na kwa ajili ya mavazi yenye fahari.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki