Yeremia 43:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na mwishowe wakaingia katika nchi ya Misri,+ kwa maana hawakuitii sauti ya Yehova; nao mwishowe wakafika mpaka Tahpanhesi.+ Yohana 17:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Ninakuomba, si kwamba uwatoe ulimwenguni, bali uwalinde kwa sababu ya yule mwovu.+ Ufunuo 11:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na maiti zao zitakuwa juu ya njia pana ya lile jiji kubwa ambalo katika maana ya kiroho linaitwa Sodoma+ na Misri, ambako pia Bwana wao alitundikwa mtini.+
7 Na mwishowe wakaingia katika nchi ya Misri,+ kwa maana hawakuitii sauti ya Yehova; nao mwishowe wakafika mpaka Tahpanhesi.+
8 Na maiti zao zitakuwa juu ya njia pana ya lile jiji kubwa ambalo katika maana ya kiroho linaitwa Sodoma+ na Misri, ambako pia Bwana wao alitundikwa mtini.+