3 Wamevaa nguo za magunia+ katika barabara zake. Katika madari+ ya huko na katika viwanja vya watu wote vya huko kila mtu huko analia, anashuka huku akilia.+
38 “‘Juu ya paa zote za Moabu na katika viwanja vyake vya watu wote—vyote—kuna maombolezo;+ kwa maana nimemvunja Moabu kama tu chombo ambacho hakipendezi,’+ asema Yehova.