-
Ezekieli 17:9Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 “Sema, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Je, huo utakuwa na mafanikio?+ Je, mtu fulani hataing’oa mizizi yake+ na kuyafanya matunda yake yawe na magamba? Na je, machipukizi yake yote yaliyokatwa hivi karibuni hayatakauka?+ Utakauka. Hautainuliwa kutoka mizizini mwake kwa mkono wenye nguvu wala kwa umati wa watu.
-