12 Na tazama! pamoja nasi yuko mbele yetu Mungu wa kweli+ pamoja na makuhani+ wake na tarumbeta+ za ishara kwa ajili ya kupiga king’ora cha vita juu yenu. Enyi wana wa Israeli, msipigane na Yehova Mungu wa mababu zenu,+ kwa maana hamtafanikiwa.”+
5 ‘naye atampeleka Sedekia mpaka Babiloni, naye ataendelea kuwa huko mpaka nitakapomkazia fikira,’+ asema Yehova; ‘ingawa ninyi mnaendelea kupigana na Wakaldayo, hamtafanikiwa’?”+