26 Ndipo Eliakimu+ mwana wa Hilkia na Shebna+ na Yoa+ wakamwambia Rabshake:+ “Tafadhali, sema na watumishi wako katika lugha+ ya Kisiria, kwa maana tunaweza kusikia; wala usiseme nasi katika lugha+ ya Wayahudi masikioni mwa wale watu walio juu ya ukuta.”