Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Wana wako na binti zako watapewa watu wengine+ na macho yako yakitazama na kuwatamani sikuzote—lakini mikono yako itakuwa haina nguvu.+

  • 2 Wafalme 25:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nao wakawaua wana wa Sedekia mbele ya macho yake,+ naye akayapofusha macho ya Sedekia,+ kisha akamfunga kwa pingu za shaba,+ akampeleka Babiloni.+

  • Yeremia 29:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi kumhusu Ahabu mwana wa Kolaya na kumhusu Sedekia mwana wa Maaseya, ambao wanawatolea ninyi unabii wa uwongo katika jina langu mwenyewe,+ ‘Tazama, nitawatia mkononi mwa Nebukadreza mfalme wa Babiloni, naye atawapiga na kuwaua mbele ya macho yenu.+

  • Yeremia 39:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na mfalme wa Babiloni akawaua+ wana wa Sedekia katika Ribla mbele ya macho yake,+ na mfalme wa Babiloni akawaua watu wote wenye vyeo wa Yuda.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki