Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 23:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “Ole wao wachungaji wanaowaangamiza na kuwatawanya kondoo wa malisho yangu!”+ asema Yehova.

  • Ezekieli 34:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mwana wa binadamu, toa unabii juu ya wachungaji wa Israeli. Toa unabii, nawe uwaambie hao wachungaji, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Ole wao wachungaji wa Israeli,+ ambao wamekuwa watu wanaojilisha wenyewe!+ Je, wachungaji hawapaswi kulisha kundi?+

  • Zekaria 11:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Mwishowe nikafutilia mbali wachungaji watatu katika mwezi mmoja,+ kwa vile nafsi yangu ilikosa subira+ kwao hatua kwa hatua, na pia nafsi zao zilinichukia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki