Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 25:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Urafiki wa karibu pamoja na Yehova ni wa wale wanaomwogopa,+

      Pia agano lake, ili kuwafanya walijue.+

  • Zaburi 89:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Mungu anapaswa kupewa heshima katikati ya kikundi cha rafiki za karibu cha watakatifu;+

      Yeye ni mkuu na mwenye kuogopesha juu ya wote wanaomzunguka pande zote.+

  • Yeremia 23:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Lakini ikiwa wangekuwa wamesimama katika kikundi changu cha rafiki,+ ndipo wangewafanya watu wangu wayasikie maneno yangu, nao wangewarudisha kutoka katika njia yao mbaya na kutoka katika ubaya wa matendo yao.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki