Zaburi 25:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Urafiki wa karibu pamoja na Yehova ni wa wale wanaomwogopa,+Pia agano lake, ili kuwafanya walijue.+ Zaburi 89:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mungu anapaswa kupewa heshima katikati ya kikundi cha rafiki za karibu cha watakatifu;+Yeye ni mkuu na mwenye kuogopesha juu ya wote wanaomzunguka pande zote.+ Yeremia 23:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Lakini ikiwa wangekuwa wamesimama katika kikundi changu cha rafiki,+ ndipo wangewafanya watu wangu wayasikie maneno yangu, nao wangewarudisha kutoka katika njia yao mbaya na kutoka katika ubaya wa matendo yao.”+
14 Urafiki wa karibu pamoja na Yehova ni wa wale wanaomwogopa,+Pia agano lake, ili kuwafanya walijue.+
7 Mungu anapaswa kupewa heshima katikati ya kikundi cha rafiki za karibu cha watakatifu;+Yeye ni mkuu na mwenye kuogopesha juu ya wote wanaomzunguka pande zote.+
22 Lakini ikiwa wangekuwa wamesimama katika kikundi changu cha rafiki,+ ndipo wangewafanya watu wangu wayasikie maneno yangu, nao wangewarudisha kutoka katika njia yao mbaya na kutoka katika ubaya wa matendo yao.”+