Ayubu 29:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kama nilivyokuwa katika siku zilizo bora za ujana wangu,+Wakati urafiki wa karibu pamoja na Mungu ulikuwa katika hema langu;+ Zaburi 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ee Yehova, ni nani atakayekuwa mgeni katika hema lako?+Ni nani atakayekaa katika mlima wako mtakatifu?+ Zaburi 25:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Urafiki wa karibu pamoja na Yehova ni wa wale wanaomwogopa,+Pia agano lake, ili kuwafanya walijue.+ Yeremia 23:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana ni nani amesimama katika kikundi cha rafiki+ za Yehova ili aone na kulisikia neno lake?+ Ni nani amelikazia fikira neno lake ili alisikie?+
4 Kama nilivyokuwa katika siku zilizo bora za ujana wangu,+Wakati urafiki wa karibu pamoja na Mungu ulikuwa katika hema langu;+
15 Ee Yehova, ni nani atakayekuwa mgeni katika hema lako?+Ni nani atakayekaa katika mlima wako mtakatifu?+
14 Urafiki wa karibu pamoja na Yehova ni wa wale wanaomwogopa,+Pia agano lake, ili kuwafanya walijue.+
18 Kwa maana ni nani amesimama katika kikundi cha rafiki+ za Yehova ili aone na kulisikia neno lake?+ Ni nani amelikazia fikira neno lake ili alisikie?+