Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 29:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kama nilivyokuwa katika siku zilizo bora za ujana wangu,+

      Wakati urafiki wa karibu pamoja na Mungu ulikuwa katika hema langu;+

  • Zaburi 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ee Yehova, ni nani atakayekuwa mgeni katika hema lako?+

      Ni nani atakayekaa katika mlima wako mtakatifu?+

  • Zaburi 25:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Urafiki wa karibu pamoja na Yehova ni wa wale wanaomwogopa,+

      Pia agano lake, ili kuwafanya walijue.+

  • Yeremia 23:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana ni nani amesimama katika kikundi cha rafiki+ za Yehova ili aone na kulisikia neno lake?+ Ni nani amelikazia fikira neno lake ili alisikie?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki