Yeremia 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Kabla sijaanza kukuumba ndani ya tumbo+ nilikujua,+ na kabla hujatoka ndani ya tumbo la uzazi nilikutakasa.+ Nilikufanya uwe nabii kwa mataifa.” Yeremia 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Tazama, nimekupa utume leo ili uwe juu ya mataifa na juu ya falme,+ ili kung’oa na kubomoa na kuangamiza na kuangusha,+ ili kujenga na kupanda.”+
5 “Kabla sijaanza kukuumba ndani ya tumbo+ nilikujua,+ na kabla hujatoka ndani ya tumbo la uzazi nilikutakasa.+ Nilikufanya uwe nabii kwa mataifa.”
10 Tazama, nimekupa utume leo ili uwe juu ya mataifa na juu ya falme,+ ili kung’oa na kubomoa na kuangamiza na kuangusha,+ ili kujenga na kupanda.”+