Yeremia 2:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Nimewapiga wana wenu bila matokeo.+ Hawakushika nidhamu yoyote.+ Upanga wenu umewala manabii wenu, kama simba anayeangamiza.+ Mathayo 23:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa hiyo mnatoa ushahidi juu yenu wenyewe kwamba ninyi ni wana wa wale waliowaua manabii.+ 1 Wathesalonike 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 waliomuua hata Bwana Yesu+ na manabii+ na kututesa sisi.+ Zaidi ya hayo, wao hawampendezi Mungu, bali wako kinyume cha faida za wanadamu wote,
30 Nimewapiga wana wenu bila matokeo.+ Hawakushika nidhamu yoyote.+ Upanga wenu umewala manabii wenu, kama simba anayeangamiza.+
15 waliomuua hata Bwana Yesu+ na manabii+ na kututesa sisi.+ Zaidi ya hayo, wao hawampendezi Mungu, bali wako kinyume cha faida za wanadamu wote,