Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 71:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kwa maana wewe ni tumaini langu,+ Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu, Yehova, tegemeo langu tangu ujana wangu.+

  • Methali 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 anayemwacha rafiki wa ujana wake+ na ambaye amelisahau agano la Mungu wake.+

  • Yeremia 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Nenda, ukaite masikioni mwa Yerusalemu, ukisema, ‘Yehova amesema hivi:+ “Ninakumbuka vema fadhili zako zenye upendo wakati wa ujana wako,+ upendo wako wakati ulipochumbiwa ili kuolewa,+ ulivyotembea kunifuata nyikani, katika nchi ambayo haipandwi mbegu.+

  • Hosea 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nami nitampa mashamba yake ya mizabibu kuanzia wakati huo+ na kuendelea, na nchi tambarare ya chini ya Akori+ kama lango la tumaini; naye hakika atajibu hapo kama katika siku za ujana wake+ na kama katika siku ya kutoka kwake katika nchi ya Misri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki