Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 27:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “‘“‘Na itatukia kwamba lile taifa na ule ufalme ambao hautamtumikia Nebukadneza mfalme wa Babiloni; na lile ambalo halitatia shingo yake chini ya nira ya mfalme wa Babiloni, nitakaza fikira zangu juu ya taifa hilo kwa upanga+ na kwa njaa+ na kwa tauni,’+ asema Yehova, ‘mpaka nitakapokuwa nimewamaliza kabisa kwa mkono wake.’+

  • Mika 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Walio vichwa vyake hutoa hukumu ili wale rushwa+ tu, na makuhani wake hufundisha ili tu wapate malipo,+ na manabii wake hufanya uaguzi ili tu wapate pesa;+ hata hivyo wao huendelea kujiegemeza kwa Yehova, wakisema: “Je, Yehova hayuko katikati yetu?+ Hakuna msiba utakaotupata.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki