10 “Nilimkuta Israeli kama zabibu nyikani.+ Niliwaona mababu zenu kama tini ya mapema katika mtini ulio katika majira yake ya kwanza.+ Wao wenyewe waliingia kwa Baali wa Peori,+ nao wakajiweka wakfu kwa kitu kile cha aibu, wakawa wenye kuchukiza+ kama kile kitu walichokipenda.+