Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 20:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini majira yake yalipofika akatuma mtumwa+ kwa wakulima,+ ili wampe sehemu ya matunda ya shamba la mizabibu.+ Hata hivyo, wakulima hao wakamfukuza akiwa mikono mitupu,+ baada ya kumpiga sana.

  • 2 Wakorintho 11:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Je, wao ni wahudumu wa Kristo? Mimi najibu kama mwenda-wazimu, mimi ni mhudumu kwa njia yenye kutokeza hata zaidi:+ katika kazi za jasho kwa wingi zaidi,+ katika vifungo vya gereza kwa wingi zaidi,+ katika mapigo kwa kuzidi mno, katika kukaribia kufa mara nyingi.+

  • Waebrania 11:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Ndiyo, wengine walipata jaribu lao kwa dhihaka na mapigo kwa mijeledi, kwa kweli, zaidi ya hayo, kwa vifungo+ na magereza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki