6 Nao wakamchukua Yeremia na kumtupa ndani ya tangi la maji la Malkiya+ mwana wa mfalme, lililokuwa katika Ua wa Walinzi.+ Hivyo wakamshusha Yeremia ndani kwa kamba. Basi hapakuwa na maji ndani ya lile tangi, bali matope; na Yeremia akaanza kuzama katika yale matope.+