Yeremia 40:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi wakamwendea Gedalia kule Mispa, Ishmaeli+ mwana wa Nethania na Yohanani+ na Yonathani, wana wa Karea, na Seraya mwana wa Tanhumethi na wana wa Efai Mnetofa+ na Yezania+ mwana wa yule Mmaakathi,+ wao pamoja na watu wao.+
8 Basi wakamwendea Gedalia kule Mispa, Ishmaeli+ mwana wa Nethania na Yohanani+ na Yonathani, wana wa Karea, na Seraya mwana wa Tanhumethi na wana wa Efai Mnetofa+ na Yezania+ mwana wa yule Mmaakathi,+ wao pamoja na watu wao.+