15 Ndipo Yoshua akawaambia: “Ikiwa ninyi ni watu wengi sana, nendeni msituni, mjikatie huko katika nchi ya Waperizi+ na Warefaimu,+ kwa sababu eneo lenye milima+ la Efraimu limekuwa jembamba mno kwenu.”
7 Basi wakayapa hali ya utakatifu majiji ya Kedeshi+ katika Galilaya katika eneo lenye milima la Naftali, na Shekemu+ katika eneo lenye milima la Efraimu, na Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni, katika eneo lenye milima la Yuda.