26 Ee binti ya watu wangu, vaa nguo ya gunia+ na ugaegae katika majivu.+ Omboleza kama kumwombolezea mwana wa pekee, kilio cha uchungu;+ kwa sababu mporaji atakuja juu yetu kwa ghafula.+
20 Hema langu limeporwa, na kamba zangu zote za mahema zimekatwa vipande viwili.+ Wanangu wameondoka kwangu, nao hawapo tena.+ Hakuna yeyote anayetandaza tena hema langu wala kuinua vitambaa vyangu vya mahema.