5 Moyo wangu unamlilia Moabu mwenyewe.+ Wakimbizi wa huko wamefika mbali mpaka Soari+ na Eglath-shelishiya.+ Kwa maana kwenye mpando wa Luhithi+—kila mmoja anaupanda akilia; kwa maana katika njia ya kwenda Horonaimu+ wanapaaza kilio kuhusu ule msiba.
34 “‘Kutoka kwenye kilio katika Heshboni+ mpaka Eleale,+ mpaka Yahazi+ wamepaaza sauti yao,+ kutoka Soari+ mpaka Horonaimu,+ mpaka Eglath-shelishiya;+ kwa maana hata maji ya Nimrimu+ yatakuwa ukiwa mtupu.