Hesabu 32:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Na wana wa Rubeni wakajenga Heshboni+ na Eleale+ na Kiriathaimu,+ Isaya 16:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hiyo ndiyo sababu nitalia kwa kilio cha Yazeri juu ya mzabibu wa Sibma.+ Nitakulowesha wewe kwa machozi yangu, Ee Heshboni+ na Eleale,+ kwa sababu kupaaza sauti kumeanguka juu ya kiangazi chako na juu ya mavuno yako.+
9 Hiyo ndiyo sababu nitalia kwa kilio cha Yazeri juu ya mzabibu wa Sibma.+ Nitakulowesha wewe kwa machozi yangu, Ee Heshboni+ na Eleale,+ kwa sababu kupaaza sauti kumeanguka juu ya kiangazi chako na juu ya mavuno yako.+