19 Na watu wataingia ndani ya mapango ya miamba na ndani ya mashimo ya mavumbi kwa sababu ya hofu ya Yehova na kutoka mbele ya ukuu wake wenye fahari,+ atakaposimama ili dunia ipatwe na mitetemeko.+
15 Na wafalme wa dunia na wenye daraja la juu na viongozi wa kijeshi na matajiri na wenye nguvu na kila mtumwa na kila mtu huru wakajificha katika mapango na katika miamba+ ya milima.